Back to home
Hali ya kashfa ya mafuta imezidi kupamba moto nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 8, 2026
2h ago
Maafisa wanne wakuu wa serikali wanaohusishwa na sakata ya uagizaji mafuta, walifika tena katika idara ya Upelelezi wa Jinai kuhojiwa kuhusiana na uingizaji wa mafuta tata nchini. Maafisa hao wakifika mbele ya makachero hapo jana mchana kueleza jinsi walivyoagizwa kutafuta mafuta
Advertisement
Advertisement





