Back to home
Wakaazi wa Ondago watumia ardhi iliyofurika maji kupanda mpunga
video
C
Citizen TV (Youtube)April 8, 2026
3h ago
Wakaazi wa Kijiji cha Ondago katika eneo bunge la Karachuonyo wanasababu ya kutabasamu baada ya juhudi zao za kubadilisha kipande cha ardhi kilichokuwa kimejaa mafuriko na kuzalisha mpunga. Wakaazi hao wanaamini hatua hii itawasaidia kupata lishe na kuinua hali yao ya kiuchumi
Advertisement
Advertisement





