Back to home
Usajili wa wapigakura trans Nzoia waathirika
video
C
Citizen TV (Youtube)April 8, 2026
3h ago
Mamia ya vijana katika eneo bunge la Kwanza, kaunti ya Trans Nzoia, sasa wanalalamika wakisema mzozo wa uajiri wa chifu katika lokesheni ya Kwanza huenda ukadidimiza azma yao ya kujiandikisha kama wapiga kura. Wengi wao, licha ya kufikisha umri wa kupata vitambulisho, wanajikuta
Advertisement
Advertisement





