Back to home

Polisi adaiwa kumpiga risasi na kumjeruhi mkazi Isebania

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
2h ago
Familia Moja katika eneo la Isebania inalilia haki baada ya mwana wao kupigwa risasi na maafisa wa polisi . Kulingana na familia ya James Chacha Marwa, mwenye umri wa 35, alipigwa risasi na afisa wa polisi kwa tuhuma za kuiba gari—tuhuma ambazo baadaye zilibainika kuwa si za
Advertisement