Back to home
Serikali yafunga KIM, TVETA yakitaja ukiukaji wa kanuni na kubatilisha vyeti vya wanafunzi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 20, 2026
2h ago
Serikali imeagiza kufungwa na kubatilisha vyeti vya masomo vya maelfu ya wanafunzi wa taasisi ya KIM kote nchini. Agizo hili lililotolewa na taasisi ya vyuo vya kiufundi la likiwaathiri wanafunzi wote waliosomea chuo hicho tangu mwaka wa 2018, na ambao sasa vyeti vyao havitambuli
Advertisement
Advertisement





