Back to home
Uchunguzi waonyesha waathiriwa wa mauaji Ishiara walipigwa risasi na kuvuja damu nyingi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 20, 2026
3h ago
Upasuaji wa maiti umethibitisha kuwa watu wawili waliouawa wakati wa maandamano eneo la ishiara kaunti ya Embu walifariki kwa kuvuja damu kufuatia majeraha ya risasi. Uchunguzi wa maiti uliofanyika hospitali ya rufaa ya kaunti ya embu leo na kuongozwa na mpasuaji wa maiti wa seri
Advertisement
Advertisement





