Back to home
Gachagua asema alitimuliwa kinyume na Katiba katika kesi ya kutimuliwa kwake
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
1h ago
Kesi ya kupinga kubanduliwa afisini kwa aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua imeanza rasmi katika mahakama kuu ya milimani, gachagua akieleza mahakama kwamba aliondolewa ofisini kinyume cha sheria mwaka wa 2024. Kupitia kwa mawakili wake, Gachagua anataka mahakama ifutilie mbali
Advertisement
Advertisement




