Back to home
KHRC kuishtaki UDA kwa kukwepa ushuru
video
C
Citizen TV (Youtube)April 27, 2026
3h ago
Tume ya kutetea haki za binadamu imetishia kukishtaki chama cha UDA na maafisa wake wakuu kwa kukosa kulipa ushuru na utumizi mbaya ya fedha za umma. Ikirejelea ripoti ya Mkaguzi wa hesabu za serikali, tume hiyo imesema UDA haikulipa ushuru wa zaidi ya shilingi milioni 69 katika
Advertisement
Advertisement





