Back to home

Maadhimisho ya wiki ya wauguzi yameanza kaunti ya Bungoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 4, 2026
2h ago
Wauguzi katika kaunti ya Bungoma, wameanza rasmi maadhimisho ya wiki ya wauguzi, huku wakilenga kutoa huduma mbalimbali kwa jamii zikiwemo matibabu bila malipo, elimu ya afya, na hamasisho kuhusu umuhimu wa kusajiliwa katika bima ya afya.
Advertisement