Back to home

Ruto azungumzia mradi wa kusafisha mafuta Tanzania

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 5, 2026
1h ago
Rais William Ruto leo alilihutubia Bunge la Tanzania, Dodoma, kuhusu mradi wa kusafisha mafuta aliousema unatarajiwa kuanzishwa mkoa wa Tanga, Tanzania. Rais Ruto alisema kiwanda hicho kitatoa nafasi za ajira na kupunguza bei ya mafuta Afrika Mashariki. Hata hivyo, alijikuta kati
Advertisement