Back to home
Walimu wa sekondari msingi kaunti ya Smaburu wamelalamikia kupuuzwa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Walimu wa shule za sekondari msingi kaunti ya samburu wamelalamikia kupuuzwa na mwajiri wao TSC kuhusiana na suala la ajira ya kudumu. Walimu hao ambao wametoa makataa ya wiki moja wanalalamikia kuhudumu katika mazingira magumu ya kazi wakilalamika kuwa mishahara wanayopokea ya s
Advertisement
Advertisement





