Back to home
Shughuli za matibabu zimetatizika kwa muda Ilbisil Kajiado kutokana na mzozo wa Ambulensi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Shughuli za matibabu zimetatizika kwa muda katika Kituo cha Afya cha Ilbisil, Kaunti ya Kajiado, kufuatia maandamano ya wakazi waliokuwa wakipinga kuhamishwa kwa ambulensi kutoka kituo hicho hadi Hospitali ya Meto.
Wakazi hao wanasema kuwa kuondolewa kwa ambulensi kumewaacha bila
Advertisement
Advertisement





