Back to home
Wakazi wa maeneo ya Jwelu na Kanyasrega wanasema barabara hazipitiki
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Wakazi wa maeneo ya Jwelu na Kanyasrega katika kaunti ndogo ya Awendo, Kaunti ya Migori, wanalalamika kuhusu hali mbaya ya barabara katika eneo hilo, wakisema hazipitiki tangu mvua ilipoanza.
Wakazi hao wanasema hali mbaya ya barabara imesababisha kukatizwa kwa usafiri, huku waka
Advertisement
Advertisement





