Back to home
Ripoti imebaini mtoto Keziah Matuki alinyongwa na kuvunjwa shingo
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Ripoti ya upasuaji wa maiti sasa imebaini kuwa Mtoto Keziah Matuki alinyongwa na kuvunjwa shingo na kisha kunajisiwa.
Daktari mkuu wa hospitali ya rufaa ya Kilifi Dkt. Gilbert Angore amesema kuwa mwili wa mtoto huyo ulikuwa na alama usoni na mikononi, ishara kuwa mtoto huyo alija
Advertisement
Advertisement





