Back to home
Mwalimu mmoja anahangaikia matibabu ya ugonjwa wa figo
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
2h ago
Gharama ya juu ya matibabu ya ugonjwa wa figo imemfanya Mwalimu mmoja mwenye umri wa miaka 34 kutoka Diani, Kaunti ya Kwale, kujipata kwenye njia panda. Maisha ya mwalimu huyo yalibadilika baada ya mkono wake wa kulia kupooza kufuatia hitilafu wakati wa matibabu ya kusafisha damu
Advertisement
Advertisement





