Back to home

Wakaazi wa Mwea wasitisha mazishi ya mwanaume mwenye umri wa miaka 30

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 8, 2026
4h ago
Wakazi kutoka kijiji cha Ciagiini, Mwea, kaunti ya Kirinyaga walisitisha shughuli za mazishi ya kijana mwenye umri wa miaka 30 wakidai haki kwa kumshtumu askofu wa kanisa la Ambassadors for Christ Ministry kwa kumshambulia na kumuua. Subscribe and watch NTV Kenya live for lates
Advertisement