Back to home
Wakazi wa kaunti ya West Pokot walalamikia uhaba mkubwa wa ajira
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
2h ago
Vijana, wafanyibiashara pamoja na wakazi wa kaunti ya Pokot Magharibi wamelalamikia uhaba mkubwa wa nafasi za kazi wakisema hali hiyo imeendelea kuwa kizingiti kikuu kwa maendeleo ya eneo hilo. Wakizungumza mjini Kapenguria wakati wa kikao cha jopo la Okiya Omtatah cha kukusanya
Advertisement
Advertisement





