Back to home

Wakazi wa kaunti ya Nyamira walalamikia ongezeko la bei ya mafuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 15, 2026
1h ago
Wahudumu wa sekta ya uchukuzi na wakazi wa kaunti ya Nyamira walalamikia ongezeko la bei ya mafuta, hali wanayosema hutatiza shughuli za uchukuzi huku abiria wakilazimika kugharamika zaidi kutokana na nyongeza ya nauli.
Advertisement