Back to home
Kenya kupangwa Kundi la kufuzu AFCON 2027 dhidi ya Afrika Kusini, Guinea na Eritrea
video
C
Citizen TV (Youtube)May 19, 2026
3h ago
Kocha wa timu ya taifa ya kandanda ya Harambee Stars, Benni McCarthy, amepangiwa tarehe ya kukutana na nchi yake ya Afrika Kusini katika mechi za kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazoanza Septemba 2026.
Kenya, Uganda na Tanzania zitafuzu moja kwa moja kama wenyeji, lakin
Advertisement
Advertisement





