Back to home

Serikali yatoa majokofu tisa ya kisasa kwa wakulima wa mifugo katika kaunti za Kisii na Nyamira

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 23, 2026
57m ago
Katika hatua ya kuhifadhi maziwa serikali kuu imetoa majokofu tisa ya kisasa kwa wakulima wa mifugo katika vyama vya ushrika katika kaunti za Kisii na Nyamira ya kima cha shilingi milioni 43. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told b
Advertisement