Back to home

Sherehe za Arsenal zaendelea nchini baada ya kutwaa ubingwa wa EPL

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 23, 2026
1h ago
Mashabiki wa Arsenal wameendelea kusherehekea baada ya klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya miaka 22 ya kusubiri. Sherehe hizo zimeendelea katika maeneo mbalimbali nchini, huku mashabiki wakikongamana katika Milima ya Ngong kwa shamrashamra kubwa. Hii
Advertisement