Back to home

Viongozi wamtaka Hassan Omar ajiuzulu kutokana na matamshi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 24, 2026
1h ago
Viongozi mbalimbali sasa wanamtaka Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, kujiuzulu au kuondolewa afisini kufuatia matamshi yake yaliyozua utata kuhusu jamii ya Mlima Kenya, huku akijitetea na kuomba msamaha akisema kauli zake hazikulenga jamii yoyote mahsusi.
Advertisement