Back to home
Viongozi wataka Hassan Omar ajiuzulu kutokana na matamshi ya Mlima Kenya
video
C
Citizen TV (Youtube)May 25, 2026
2h ago
Viongozi mbalimbali sasa wanamtaka Katibu Mkuu wa United Democratic Alliance Hassan Omar kujiuzulu au kuondolewa katika wadhifa wake kutokana na matamshi yake yaliyolenga jamii kutoka eneo la Mlima Kenya.
Advertisement
Advertisement




