Back to home

Maafisa wa DCI wawakamata wanafunzi washukiwa 8 wa shule ya upili ya wasichana ya Utumishi Gilgil

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 29, 2026
4h ago
Maafisa wa DCI wawakamata wanafunzi wananne wa shule ya upili ya wasichana ya Utumishi Gilgil, wakihusishwa na kuteketeza bweni la shule hiyo na kusababisha vifi vya wenzao 16 huku wengine saba wakijeruhiwa.
Advertisement