Back to home
Wanafunzi 16 wafariki katika moto Utumishi Academy, Gilgil
video
C
Citizen TV (Youtube)May 28, 2026
2h ago
Tunaanza taarifa zetu na tanzia kufuatia mkasa wa moto uliotokea katika shule ya wasichana ya Utumishi Academy eneo la Gilgil, kaunti ya Nakuru, ambapo hadi alasiri ya leo maafisa wa upelelezi walikuwa wameondoa miili ya wanafunzi kumi na sita waliofariki katika ajali hiyo. Zoezi
Advertisement
Advertisement





