Back to home
Wandayi aeleza mabadiliko ya bei ya kawi na ushuru wake
video
C
Citizen TV (Youtube)June 3, 2026
49m ago
Waziri wa Nishati, Opiyo Wandayi, amesema mabadiliko ya bei ya kawi (mafuta) nchini yamechangiwa na kupanda kwa gharama za mafuta katika soko la kimataifa, gharama za usafirishaji pamoja na shinikizo la kiwango cha ubadilishaji fedha
Advertisement
Advertisement





