Back to home
Natembeya ahoji uamuzi wa kuwapa askari wa akiba bunduki bila mafunzo ya kutosha
video
C
Citizen TV (Youtube)June 3, 2026
1h ago
Gavana wa Kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya, ametilia shaka hatua ya idara ya polisi kuwapa bunduki Askari wa Akiba katika kaunti hiyo bila kupatiwa mafunzo maalum ya kutosha.
Advertisement
Advertisement





