Back to home
Mtaa wa Chuna Kitengela wapata barabara mpya kupitia ushirikiano wa wakazi na kura
video
C
Citizen TV (Youtube)June 3, 2026
1h ago
Mataa wa Chuna Katika Mji wa Kitengela kaunti ya Kajiado umepata sura mpya baada ya wakazi kwa Ushirikiano na Mamlaka ya kusimamia barabara za mijini Kura kushirikiana kujenga kilomita moja inayounganisha barabara kuu na eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





