Back to home

Mwanafunzi wa chuo cha KMTC afariki baada ya kutupwa nje ya basi ya Nicco

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 6, 2026
1mo ago
Alitupwa kutoka kwenye basi akafa? Polisi wa kituo cha Kasarani wanamsaka dereva na kondakta wa basi moja la kampuni ya Nicco, lililohusika na kifo cha mwanafunzi mmoja wa chuo cha matibabau cha KMTC hapo jana katika barabara ya Thika kuelekea Nairobi. #NTVWikendi @MwakaFridah

More on this topic

Polisi wasaka dereva wa matatu ya Nicco Movers baada ya mwanafunzi wa KMTC kusukumwa nja na kufa - June 2026

Police are searching for the driver of a Nicco Movers matatu after a KMTC student was allegedly pushed out of the moving vehicle and died. The incident occurred on the Thika Road towards Nairobi following a nationwide matatu strike protesting rising fuel prices. A KMTC student has tragically died after reportedly being thrown from a Nicco bus, with the incident occurring yesterday on the Thika Road. A family in Kanyuambora has left the body of their deceased relative at the local police station, alleging police involvement in his death and demanding justice. A horrific family tragedy struck Thika where a man is reported to have killed his wife and two children by dousing them in acid.

5 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement