Back to home
Mwanafunzi wa chuo cha KMTC afariki baada ya kutupwa nje ya basi ya Nicco
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 6, 2026
2h ago
Alitupwa kutoka kwenye basi akafa?
Polisi wa kituo cha Kasarani wanamsaka dereva na kondakta wa basi moja la kampuni ya Nicco, lililohusika na kifo cha mwanafunzi mmoja wa chuo cha matibabau cha KMTC hapo jana katika barabara ya Thika kuelekea Nairobi.
#NTVWikendi @MwakaFridah
Advertisement
Advertisement





