Back to home
Mwanafunzi aliyeangamia kwenye moto wa Utumishi Academy azikwa Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)June 7, 2026
2h ago
Zuhra Rama Higa, mmoja wa wanafunzi 16 walioangamia katika mkasa wa moto katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Utumishi Academy huko Gilgil, amezikwa nyumbani kwao katika kijiji cha Mkwakwani, Kaunti ya Kwale.
Familia yake ndiyo ya kwanza kukabidhiwa mwili wa mpendwa wao kwa aji
Advertisement
Advertisement





