Back to home

Wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya wasichana ya Utumishi Gilgil warejea shuleni

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 2, 2026
2h ago
Wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya wasichana ya Utumishi Gilgil warejea shuleni baada ya shule hiyo kufungwa kwa zaidi ya mwezi mmoja kufuatia mkasa wa moto uliosababisha vifo vya wnafunzi 16.
Advertisement