Back to home
Gavana wa Busia Paul Otuoma aahidi kukomesha uhuni na ujambazi wa kisiasa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 2, 2026
2h ago
Gavana wa Busia Paul Otuoma aapa kukomesha visa vya uhuni na ujambazi wa kisiasa katika kaunti hiyo. Otuoma asema visa vya wahuni kuvuruga amani vyatatiza usalama na kusababisha machafukokatika kaunti hiyo ya mpakani.
Advertisement
Advertisement





