Back to home

Kaunti ya Laikipia yapinga ujenzi wa kituo cha ebola

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 9, 2026
1h ago
Serikali ya Kaunti ya Laikipia yapinga ujenzi wa Kituo cha Karantini ya ebola katika kaunti hiyo. Kwenye waraka wake mahakamani, waziri wa afya wa kaunti hiyo Albert Taiti asema kuwa mradi huo waibua wasiwasi mkubwa kuhusu afya ya umma kwa wakaazi wa eneo hilo. Taiti asema kuwa j
Advertisement