Back to home
Wakaazi wa Kitengela watoa wito wa amani huku maadhimisho ya Juni 25 ya vijana wa Gen Z ikikaribia
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 19, 2026
5h ago
Wakaazi wa Kitengela na wanaharakati wa haki za binadamu wametoa wito wa amani, utulivu kuelekea maadhimisho ya Juni 25 ya vijana wa Gen Z waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement
Advertisement





