Back to home

Wakaazi wa Kitengela watoa wito wa amani huku maadhimisho ya Juni 25 ya vijana wa Gen Z ikikaribia

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 19, 2026
5h ago
Wakaazi wa Kitengela na wanaharakati wa haki za binadamu wametoa wito wa amani, utulivu kuelekea maadhimisho ya Juni 25 ya vijana wa Gen Z waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement