Back to home
Polisi watawanya waandamanaji Mathare wakitaka kuachiliwa kwa Joel Kariuki
video
C
Citizen TV (Youtube)June 20, 2026
2h ago
Polisi katika eneo la Mathare 3C jijini Nairobi wamelazimika kutumia vitoa machozi kuwatawanya kundi la wakazi ambao kwa siku ya pili mfululizo wameandamana wakitaka kuachiliwa kwa mwanasiasa na mfanyabiashara Joel Kariuki, anayeaminika kutekwa nyara.
Inasemekana kuwa tangu Alha
Advertisement
Advertisement





