Back to home

Watu wawili wadaiwa kupoteza sehemu zao za siri Mombasa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 20, 2026
2h ago
Kizaazaa kimeshuhudiwa jijini Mombasa baada ya wahubiri wanane kujipata katika hatari wakazi wa eneo la Mtopanga walipowavamia kwa madai kuwa walikuwa wamehusika katika ushirikina na kusababisha watu wawili kupoteza sehemu zao za siri. Subscribe and watch NTV Kenya live for lat
Advertisement