Back to home

Viongozi wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wapinga maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
2h ago
Huku zasalia siku mbili kabla ya maadhimisho ya mauaji ya vijana wa gen z yaliyotokea wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha wa mwaka wa 2024, viongozi wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wapinga maandamano yaliyopangwa kufanyika alhamisi. Wasema kuwa maandamano hayo
Advertisement