Back to home

Waandamanaji sita waliotoweka wapatikana

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 27, 2026
1h ago
Waandamanaji sita waliotoweka wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu za Juni 25 wamepatikana. Watatu walitelekezwa katika barabara ya Lang’ata huku wengine watatu wakipatikana katika msitu wa Ngong. Wote walidai kupigwa vibaya na kwa sasa wanapokea matibabu katika Hospitali ya Nai
Advertisement