Back to home

Polisi wachunguza kifo cha msichana mwenye umri wa miaka 19 Kayole

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 14, 2026
1h ago
Polisi katika eneo la Kayole wanachunguza mazingira ya kifo cha msichana mwenye umri wa miaka 19, Bellacah Wambui Kamau, ambaye inadaiwa alianguka kutoka ghorofa ya juu katika mtaa wa Kayole Kamatuto siku ya Jumamosi.
Advertisement