Back to home
Wadau wa elimu wataka ujuzi wa usalama ujumuishwe kwenye mtaala
video
C
Citizen TV (Youtube)July 15, 2026
2h ago
Wadau katika sekta ya elimu wameitaka wizara ya elimu kujumuisha ujuzi wa usalama katika mtaala ili kuwasaidia wanafunzi kujikinga, kuwaokoa wenzao na kulinda mali endapo majanga yatatokea shuleni au katika maeneo mengine.
Advertisement
Advertisement





