Back to home
Waziri wa kilimo katika Kaunti ya Tana River azindua mfumo wa kufuatilia mifugo
video
C
Citizen TV (Youtube)July 17, 2026
1h ago
Wafugaji katika Kaunti ya Tana River waweza kufuatilia mienendo wa mifugo wao kwa njia ya kidijitali, baada ya serikali kuzindua rasmi mfumo wa ANITRAC kwenye kaunti hiyo.
Advertisement
Advertisement





