Back to home
Serikali ya kaunti ya Kwale yakamilisha mchakato wa kutunga sera ya masuala ya jinsia
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
2h ago
Serikali ya kaunti ya Kwale ikishirikiana na muungano wa mashirika ya kijamii ya Kwale yakamilisha mchakato wa kutunga sera ya masuala ya jinsia na ujumuishaji wa jamii. Hii yawezesha Sheria ya dhuluma za kijinsia iliyopitishwa mwaka 2024 kutekelezwa kikamilifu katika kaunti hiyo
Advertisement
Advertisement





