Back to home
Ngariba katika Kaunti ya Bungoma wafanya tambiko la kutakasa visu vya tohara
video
C
Citizen TV (Youtube)July 28, 2026
1h ago
Ngariba kutoka eneo la Malaha, wadi ya Matulo, Kaunti ya Bungoma, wafanya tambiko la kitamaduni la kutakasa visu vya tohara ya vijana wa jamii ya Waluhya, ikiwa ni maandalizi ya msimu rasmi wa tohara unaotarajiwa kuanza.
Advertisement
Advertisement





