Back to home
Ukosefu wa ufadhili watajwa kuwa kikwazo kwa utafiti na ubunifu
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2026
2h ago
Huku ulimwengu ukiendelea kukumbatia teknolojia na ubunifu ili kukabiliana na changamoto zinazoibuka katika jamii, ukosefu wa ufadhili wa kutosha umesalia kikwazo kikubwa zaidi kinachozuia utafiti na ubunifu huo kuingia kwa jamii.
Advertisement
Advertisement





