Back to home

Wadau wa elimu wataka walimu wawezeshwe kutekeleza mfumo wa CBE

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 29, 2026
2h ago
Serikali imetakiwa kuendelea kuwawezesha walimu kupata mafunzo ya mara kwa mara ili kuimarisha utekelezaji wa mfumo wa Elimu ya CBE. Wito huo umetolewa na wadau wa elimu kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya, ambao wanasema hatua hiyo itachangia kuboresha elimu nchini.
Advertisement