Back to home
Makala ya 16 ya Mashindano ya Kitaifa ya KMTC yaunganisha michezo na huduma za afya kwa jamii
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 29, 2026
2h ago
Makala ya 16 ya Mashindano ya Kitaifa ya Vyuo vya Mafunzo ya Matibabu nchini, KMTC, yanayoendelea Kaunti ya Kitui yamechukua mkondo wa kipekee baada ya wanafunzi kuunganisha michezo na huduma za afya kwa jamii.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and
Advertisement
Advertisement





