Back to home

Takriban miaka 18 baada ya ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/08

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 29, 2026
2h ago
Takriban miaka 18 baada ya ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/08, manusura wanane wa ukatili wa kingono wanaitaka Mahakama ya Juu kubatilisha uamuzi uliowapa fidia wale walioripoti visa vyao kwa polisi pekee. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement