Back to home

Familia yataka polisi wakamatwe kufuatia kifo cha mhudumu wa boda boda

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 5, 2026
1h ago
Familia ya Eric Otieno, mhudumu wa boda boda aliyefariki katika njia tata baada ya kukamatwa na kuzuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Muthaiga Jumamosi, sasa inawataka maafisa wa polisi waliotangamana naye kukamatwa. Otieno, anayedaiwa kudhulumiwa ndani ya kituo hicho cha polisi,
Advertisement