Back to home
Wakazi wa Naserian walalamikia ukosefu wa maji
video
C
Citizen TV (Youtube)August 11, 2026
4h ago
Wakazi wa eneo la Naserian, huko Magadi Kajiado Magharibi wameendelea kulalamikia ukosefu wa maji, wakisema wamekuwa wakitegemea misaada ya maji kwa muda mrefu.
Advertisement
Advertisement





