Back to home
Wakazi wa eneo la Dunga wanataka kinamasi cha dunga kutambuliwa kitaifa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 3, 2026
1h ago
Wakazi wa eneo la Dunga sasa wanaitaka serikali kutambua kinamasi cha Dunga kama eneo muhimu kwa mazingira, ili kuzuia uharibufu wa eneo hilo. Hii ni baada ya kiasi kikubwa cha kinamasi hicho kuteketezwa kwa siku saba na baadhi ya wakazi wanaotaka kufanya kilimo katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





